Mwenye kioo cha Samsung A20 used nakihitaji. Nina Tshs. 100,000/=

Arch Mnyaheru

New Member
Joined
Nov 17, 2019
Posts
1
Reaction score
0
Habari wanaforum,

Natafuta kioo cha Samsung Galaxy A20 kilichotumika na bajeti yangu ni 100,000/=.

Nipo Dar es salaam Kinondoni.
Kama atapatikani anitafute ili tuonane twende kwa fundi ili nikakifix na kuona kama kinafanya kazi ili tulipane pesa hizo.

Pesa yangu iko mfuko wa shati na hiyo ndiyo bajeti yangu kwa sasa.

Namba za simu:0757270278 na 0718744960
 

Attachments

  • samsung display.jpg
    15.9 KB · Views: 19
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…