Kama utaweza tumia eBay agiza mtandaoni watakuuzia frem na kioo kwa bei rahisiKioo cha Samsung hasa hizi S series ndo simu yenyewe
Sahihi mzeeKama hiyo...View attachment 2830576
Hivi Ebay shiping yao ni kama mda gani?Kama hiyo...View attachment 2830576
Inategemea na sehem bidhaa iliyopo kama china au Marekani,kuanzia wiki 2,mwezi,miezi mitatau,pia inategemea mzigo unakuja kwa njia gani,kama ndege au shipHivi Ebay shiping yao ni kama mda gani?
Ok nimeamua kuchukua App yao nijilidhishe na hiyo bei nimeona chenyewe Amored kinaenda 360,000/= bila shiping ila kuna OLED ndiyo vinafika Tsh 150 mpaka Tsh 200!Inategemea na sehem bidhaa iliyopo kama china au Marekani,kuanzia wiki 2,mwezi,miezi mitatau,pia inategemea mzigo unakuja kwa njia gani,kama ndege au ship
Na anapata ndani ya wikiKama hiyo...View attachment 2830576
Wazee wa tecno na infinix hapo anapata simu mpyaOk nimeamua kuchukua App yao nijilidhishe na hiyo bei nimeona chenyewe Amored kinaenda 360,000/= bila shiping ila kuna OLED ndiyo vinafika Tsh 150 mpaka Tsh 200!
Binafsi natumia sana AliExpress kuagiza vitu china ila bei nako kwa Amored ni 350
Chukua hata kioo cha OLED kama unaipenda sana hiyo simu... Vinginevyo uza kama spare then ongezea pesa vuta chuma ingine.Ok nimeamua kuchukua App yao nijilidhishe na hiyo bei nimeona chenyewe Amored kinaenda 360,000/= bila shiping ila kuna OLED ndiyo vinafika Tsh 150 mpaka Tsh 200!
Binafsi natumia sana AliExpress kuagiza vitu china ila bei nako kwa Amored ni 350
tech ni kubwa sana ktk hivyo vioo vyao.Chukua hata kioo cha OLED kama unaipenda sana hiyo simu... Vinginevyo uza kama spare then ongezea pesa vuta chuma ingine.
Samsung majanga ikiharibika kioo service yake ni robo 3 ya bei ya simu hiyohiyo.