Mwenye kitabu cha sheria za mpira wa miguu naomba anisaidie

kanick

Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
10
Reaction score
4
Wadau wa michezo humu ndani, nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ninaomba msaada wa kitabu cha sheria za mpira wa miguu, na pia kama kuna mwenye kitabu cha mazoezi ya viungo kwa mpira wa miguu naomba tafadhali.

Natanguliza shukrani zangu.
 
Google ndiyo Mwalimu wa kila kitu
Ingia google andika LAW OF THE GAME
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…