Mwenye kitabu hiki, na mimi nakihitaji

Mwenye kitabu hiki, na mimi nakihitaji

BilioneaPATIGOO

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2012
Posts
12,320
Reaction score
11,327
Habari wajasiriamali wenzangu.

Naomba sana kuna hicho kitabu nimeweka cover picha yake hapo chini naomba kwa yeyote ambae ataweza kukipata basi sio vibaya na hatapungukiwa na chochote kama ataweza kushea nasi haswa wadau wa jukwaa hili la biashara, uchumi na ujiasiriamali..

Huyo kijana John Iwuoha tuseme ni mtaalamu sana wa kuchambua mada za kibiashara na uchumi na pia ana uelewa mpana wa FURSA za kibiashara hapa AFRIKA, mana sehemu nyingi ameshafika, na pia baadhi kama sio wote wafanyabiashara hua anazungumza nao na hua anaelezea japo kwa kifupi mfanyabiashara husika alipoanzia hadi kufikia alipo(mafanikio). Ana makala nyingi nzuri sana zenye kufafanua mambo kwa mtu yeyote kuweza kuelewa ambazo zipo katika website yake ya SMALLSTARTER.COM, huko pia utakutana na makala ya mfanyabiashara wa solar mtanzania milionea, Patrick Ngowi.

Kwahio kama kuna mdau yeyote atapata kitabu hiki basi asisite kutupia humu na wengine wajifunze, maana sio kila mmoja atakua na uwezo wa kukinunua, anauza kama 90$ hivi ambayo ni kama laki mbili za hapa kwetu Tanzania.

New_3D101_Ways_To_Make_Money_In_Africa_340x485-e1415897678723.png
 
maana sio kila mmoja atakua na uwezo wa kukinunua, anauza kama 90$
Ukiwa na AMAZON Kindle android app, au Kindle for Windows PC.
Waweza kukipata kwa TZS 25,000 tu.
Kama upo interested kukinunua ni txt whatsapp 784 496 856
Na nitakuwezesha kupata copy yako:
Code:
https://www.amazon.co.uk/101-Ways-Make-Money-Africa/dp/1320351018

Zaidi nitembelee kwenye hii thread: www.bit.ly/101buy4me
 
Ukiwa na AMAZON Kindle android app, au Kindle for Windows PC.
Waweza kukipata kwa TZS 25,000 tu.
Kama upo interested kukinunua ni txt whatsapp 784 496 856
Na nitakuwezesha kupata copy yako:
Code:
https://www.amazon.co.uk/101-Ways-Make-Money-Africa/dp/1320351018

Zaidi nitembelee kwenye hii thread: www.bit.ly/101buy4me
Hivi hard copy za vitabu?
 
Naomba sana kuna hicho kitabu nimeweka cover picha yake hapo chini naomba kwa yeyote ambae ataweza kukipata basi sio vibaya na hatapungukiwa na chochote kama ataweza kushea nasi haswa wadau wa jukwaa hili la biashara, uchumi na ujiasiriamali..
upload_2017-10-16_12-33-2.png
 

Attachments

Back
Top Bottom