Mwenye kuandika namba ya mwisho ndo mshindi.

Tanwise

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2015
Posts
466
Reaction score
1,033
Kuzitaja namba huwa zinaleta utata kiasi kwamba wakati mwingine ni kituko.mfano MTU anasema laki kumi.
Ili tuende sawa unataja namba na mwingine anaendelea ulipoishia ili kuona mwisho wa kutamka hizi namba..
Kwa mfano
(1) moja
(2)mbili
(3)tatu
(4)NNE
.
.
.
.

Mpaka tujue IPI namba ya mwisho
 
Umekosea yaanza sifuri kisha moja na hatimaye yamalizia tisa. Zingine zatokana na mpangilio wa hizo tajwa
 
Umekosea yaanza sifuri kisha moja na hatimaye yamalizia tisa. Zingine zatokana na mpangilio wa hizo tajwa
Wewe unakosoa badala ya kutaja namba ili upate pointi. Haya sasa mimi nataja NANE= 8. Haya na wewe endelea.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…