uhadhili mkuuHueleweki Mkuu huko tabora kapata chuo cha nyuki au Nursing??? hebu fafanua basi kma GT
naombeni msaada kuna mdogo wangu kapata chuo cha UHADHILI tabora naomba kuuliza kwa wanaojua je hiki chuo ukimaliza Ajira unapata serikalin au magumashi tu, msaada wadau