Mwenye kufaham taasisi ya mikopo dhamana shamba hekari 5 lina miembe,minazi na mikorosho

gimmy's

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2011
Posts
3,312
Reaction score
3,345
Heshima kwenu,
Wakuu naomba kufahamishwa kama ipo taasisi ambayo inaweza kukopesha ila yenye kukubali shamba kama dhamana,shamba ambalo kimsingi halina hati ila lina makaratasi ya mauziano ya mahakama.
Ndani ya shamba ipo miche mikubwa yenye matunda tayari.
Natanguliza shakrani
 
tafuta hati harafu wajaribu access bank. unaweza sema. ekari 5 kumbe 3.
 
tafuta hati harafu wajaribu access bank. unaweza sema. ekari 5 kumbe 3.
Ushauri wako ni mzuri,sijui kwenye huu utawala wa magufuli labda kuna ahueni lakini hapo nyuma kupata hati si jambo jepesi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…