Mwenye kufahamu Sumu ya kicheche

Mwenye kufahamu Sumu ya kicheche

wooden.jpg
 
Naomba kwa anayejua Sumu ya kumuangamiza kicheche anijuze! Maana wananisumbua mno, wanakula mayai saana kwenye Banda la kuku wangu
sasa unataka kicheche apate ridhiki yake wap kama sio kwenye banda lako daaah ......uchoyo tuu unataka vicheche wafe njaa au?🤐
 
Tafuta dumu kubwa la lita 20 ulikate kwa juu kisha umuwekee kuku wako anayetaga humo, mayai yatakuwa salama.
 
Tafuta sumu inayoitwa Furodan.
Tumia sindano ku inject katika mayai yako kadhaa, kisha ziba kwa gundi au hata ngano. Mwekee aje ale hayo mayai
 
Tafuta sumu inayoitwa Furodan.
Tumia sindano ku inject katika mayai yako kadhaa, kisha ziba kwa gundi au hata ngano. Mwekee aje ale hayo mayai
Kama watoto wako ni wezi wa mayai,, utatimia ule mseno wa " mtego wa panya huingia waliomo na wasiokuwemo"
 
Naomba kwa anayejua Sumu ya kumuangamiza kicheche anijuze! Maana wananisumbua mno, wanakula mayai saana kwenye Banda la kuku wangu
Chemsha mayai kama kumi hivi kisha yaache yapoe halafu yadunge valium ama sumu yoyote kishapo yarudishe bandani subiri kuokota mizoga
 
Back
Top Bottom