Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 602
- 969
Naomba kwa anayejua Sumu ya kumuangamiza kicheche anijuze! Maana wananisumbua mno, wanakula mayai saana kwenye Banda la kuku wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KWANGU JUZI USIKU KABEBA KUKU WANGU NATAFUTA JINSI YA KUMTEGA.Naomba kwa anayejua Sumu ya kumuangamiza kicheche anijuze! Maana wananisumbua mno, wanakula mayai saana kwenye Banda la kuku wangu
Kuna mitego ya chuma inauzwagaNaomba kwa anayejua Sumu ya kumuangamiza kicheche anijuze! Maana wananisumbua mno, wanakula mayai saana kwenye Banda la kuku wangu
Si uyawekee sumu hayo mayai wanayokula?Naomba kwa anayejua Sumu ya kumuangamiza kicheche anijuze! Maana wananisumbua mno, wanakula mayai saana kwenye Banda la kuku wangu
sasa unataka kicheche apate ridhiki yake wap kama sio kwenye banda lako daaah ......uchoyo tuu unataka vicheche wafe njaa au?🤐Naomba kwa anayejua Sumu ya kumuangamiza kicheche anijuze! Maana wananisumbua mno, wanakula mayai saana kwenye Banda la kuku wangu
Kicheche hatembei usiku,huyo atakua paka pori ama nyegere,kicheche ni mdogo mno hana uwezo wakubeba kuku mkubwa yeye hukamata vifaranga na hula mayai piaKWANGU JUZI USIKU KABEBA KUKU WANGU NATAFUTA JINSI YA KUMTEGA.
Kama watoto wako ni wezi wa mayai,, utatimia ule mseno wa " mtego wa panya huingia waliomo na wasiokuwemo"Tafuta sumu inayoitwa Furodan.
Tumia sindano ku inject katika mayai yako kadhaa, kisha ziba kwa gundi au hata ngano. Mwekee aje ale hayo mayai
Chemsha mayai kama kumi hivi kisha yaache yapoe halafu yadunge valium ama sumu yoyote kishapo yarudishe bandani subiri kuokota mizogaNaomba kwa anayejua Sumu ya kumuangamiza kicheche anijuze! Maana wananisumbua mno, wanakula mayai saana kwenye Banda la kuku wangu