Mwenye kufahamu ugonjwa huu tafadhali

Mwenye kufahamu ugonjwa huu tafadhali

Bahati furaha

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2012
Posts
3,054
Reaction score
1,415
Mwenye kufahamu tiba ya hii kitu asaidie wadau.

Huu ni ugonjwa ambao husumbua sana kwenye migomba na baadhi ya miti.

Tafwa.jpg
 
Nadhani huu ndio uke ugonjwa nilisikia serikali inatembez bakuli Ili kufanya research. Kuwa mpole mtaambiwa ni ugonjwa gani watemveza bakuli watakapo pata mshiko
 
Back
Top Bottom