Mwenye kuijua distance learning network

DR. RICHARD

Senior Member
Joined
Jun 24, 2012
Posts
123
Reaction score
25
Habari wana JF, ninappenda kujua zaidi hawa jamaa, vitu kama vile ufanyaji wao wa kazi na maslahi kwani hivi karibuni walitoa nafasi za kazi mimi niliomba kazi na wamenitumia maswali ya interview, naomba yeyote mwenye kuwajua anisaidie kabla sijazama nao kikazi. Asanteni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…