Wale wanaotumia kwenye magari inakuwaje?Mi navyojua Gesi Asilia haifai kuwekwa Mitungini..Kuhusu Kununua ni mpaka uwe karibu na bomba la gesi hiyo.
Tembelea tovuti ya wizara ya nishati naamini utapata muongozo.. maana nilisikia kuna huduma ya kufungiwa kwenye gari
Asante kwa ushauriTembelea tovuti ya wizara ya nishati naamini utapata muongozo.. maana nlisikia kuna huduma ya kufungiwa kwenye gari
Ili Gas asilia iwekwe kwenye Mtungi inahitaji mchakato Mkubwa...tafuta taarifa zaidi utapata kujuaHiyo ni natural gas huko kwa wenzetuView attachment 2233492
Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app