Mwenye kujua Bei ya gesi asilia na inauzwa wapi?

liganga4

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2010
Posts
293
Reaction score
195
Kama mada Inaavyojieleza nia yangu nikuona kama gesi yetu inaweza kutupunguzia makali kiasi gani kulinganisha na nishati ya mafuta.

Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
 
Mi navyojua Gesi Asilia haifai kuwekwa Mitungini.. Kuhusu Kununua ni mpaka uwe karibu na bomba la gesi hiyo.
 
Ngoja waje kukupa muongozo... Ila Russia zipo nyingi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…