Mwenye kujua biashara ya kitimoto wapendwa/mtaji/na sehemu za upatikanaji kwa bei nafuu

Mwenye kujua biashara ya kitimoto wapendwa/mtaji/na sehemu za upatikanaji kwa bei nafuu

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
wapendwa

Ukiacha biashara nilizonazo nimeamua kujikita kwenye biashara ya kiti moto.

kwa wale wa Dar tujuzane inahitaji mtaji wa sh ngapi kuanzia.

Mahali pa biashara papo
fridge zipo
mizani ipo

Hasaa nahitaji kujua kiasi cha kuanzia hela zipo.
  1. sehemu za upatikanaji kirahisi namaanisha nikihitaji mda wowote napata.
  2. bei za unafuuu zaidi na je usafiri wanakuletea ama unafwata ama unalipia na usafiri.
kwa haya na mengineyo unayojua naomba usisite kunishauri mpendwa.

Nimejipanga kuwa na majiko ma 3 mpaka december mungu akipenda.

Mbarikiwe na majibu mazuri yanayokuja.
 
Hii nd
Ukiweza kufuga wewe mwenyewe utakua na uhakika sana wa upatikanaji wa mzigo
Io chabgamoto mkuu ila naamini kuanzia kununua n mwanzo wa kuanza kufuga soon
 
We upo wapi? Kuna sehemu hapa Mbezi kibanda ipo mahakama yao huwa naziona fuso zinapishana kuwashusha,then vilio vinatawala kama unavyowajua jamaa kwa kulalamika wale.
 
Ukifungua goli lako usiache kutukaribisha wanajf, ndgu yako wa bar kinyerezi anakusanya maokoto tu kwa uzi wake mmoja tu wa ukaribisho kwenye pub yake.
 
wapendwa

Ukiacha biashara nilizonazo nimeamua kujikita kwenye biashara ya kiti moto.

kwa wale wa Dar tujuzane inahitaji mtaji wa sh ngapi kuanzia.

Mahali pa biashara papo
fridge zipo
mizani ipo

Hasaa nahitaji kujua kiasi cha kuanzia hela zipo.
  1. sehemu za upatikanaji kirahisi namaanisha nikihitaji mda wowote napata.
  2. bei za unafuuu zaidi na je usafiri wanakuletea ama unafwata ama unalipia na usafiri.
kwa haya na mengineyo unayojua naomba usisite kunishauri mpendwa.

Nimejipanga kuwa na majiko ma 3 mpaka december mungu akipenda.

Mbarikiwe na majibu mazuri yanayokuja.
Mpwa andaa milion
 
Ntakucheki nije kuangalia mpwaa
We upo wapi? Kuna sehemu hapa Mbezi kibanda ipo mahakama yao huwa naziona fuso zinapishana kuwashusha,then vilio vinatawala kama unavyowajua jamaa kwa kulalamika wa
 
Nawapiga dual vizuri tu wanafika salama
 
Hongera kwa kuwaza kujiongeza ktk kutafuta fursa
najua utapata uzoefu na wadau humu jf

inaonekana ww una mtaji wa kama m2 hd 3+, unaweza kutafuta sehemu ya kuuza moja kwanza hk ukipata uzoefu, zngatia 4p au 4b za masoko. Utafanikiwa
 
wapendwa

Ukiacha biashara nilizonazo nimeamua kujikita kwenye biashara ya kiti moto.

kwa wale wa Dar tujuzane inahitaji mtaji wa sh ngapi kuanzia.

Mahali pa biashara papo
fridge zipo
mizani ipo

Hasaa nahitaji kujua kiasi cha kuanzia hela zipo.
  1. sehemu za upatikanaji kirahisi namaanisha nikihitaji mda wowote napata.
  2. bei za unafuuu zaidi na je usafiri wanakuletea ama unafwata ama unalipia na usafiri.
kwa haya na mengineyo unayojua naomba usisite kunishauri mpendwa.

Nimejipanga kuwa na majiko ma 3 mpaka december mungu akipenda.

Mbarikiwe na majibu mazuri yanayokuja.
Mkuu hatimae sasa umefanikiwa kutaka kuingia kwenye Biashara nzuri yenye maslahi mazuri kabisa

Kwa Dar me nilikuwa naona tu vile watu wanapiga hela kupitia Mdudu ila sikuwahi kujua ABC zake

Ila kwa sasa nipo sehemu Fulani kikazi ndio nimekuja kugundua kuwa kwa hivi sasa Tanzania hii hakuna biashara ya wanyama wa majumbani inalipa kama kufuga Nguruwe au kuuza nyama ya Nguruwe

Huku nilipo waga zinakuja Fuso kufata mzigo na kupeleka Dar na Dodoma, jamaa wakifika hawana Mambo mengi ni kuzoa mali kuanzia 60 na kuendelea na mfugaji anapigwa Mpunga wake cash au bank

Assume nilipo 1kg ya Mdudu ni 7000/8000 ila watu wanapata faida na hawaachi, sasa Dar last time niliacha bei ya Mdudu ni 12000/13000 inategemea na maeneo

Kwahiyo kwa Dar hiyo biashara iko vizuri sana kama mwenye nayo atakuwa na Akili ya biashara na ubunifu, so Kaka mkubwa we ingia na miguu yote na kiwili wili wala usilaze damu

Kwa kuanzia ungeanzia mbezi kule wapo wafugaji wengi sana lakini pia wanaotoka mikoani hushushwa kule kwa ajili ya kuuzwa
 
Back
Top Bottom