Mwenye kujua chimbo la vijora vya Bei ya jumla anisaidie

Mwenye kujua chimbo la vijora vya Bei ya jumla anisaidie

Tanki

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2013
Posts
538
Reaction score
246
Leo nimezunguka mno kariakoo, sijafanikiwa kujua chimbo halisi la vijora. Kariakoo madukani Bei ni 5500 hadi 6000 Kwa visivyo na mtandio, na 10,500 hadi 11,000 kwa vyenye mtandio. Swali langu ni je, hawa wao wanaenda kununulia mzigo chimbo lipi, maana hata niliowauliza wamegoma kuniambia.

Msaada wakuu
 
Nasikia wanaenda kununua kenya au wengine wananunua vitambaa na kushona kwa mafundi tu hapo hapo kariakoo
 
Kanicheki inbox

Lakin uelew mdogo anatakiwa aujue ni vijora ni vitambaa vya bei rahisi. Vinanunuliwa na kushonwa kwa mafundi tu. Bei ya kariakoo ni 6000 au 5000 KWA MAUA MAPYA. na 4000 mpaka 5000 kwa maua ya zamani. Watu wananunua majora mta wa likoma na narungombe na kukata vijora.

Sijajua jamaa anatka kuwekeza kias gan ili nione anawezaje wezaje kufnikisha hilo
 
Kanicheki inbox

Lakin uelew mdogo anatakiwa aujue ni vijora ni vitambaa vya bei rahisi. Vinanunuliwa na kushonwa kwa mafundi tu. Bei ya kariakoo ni 6000 au 5000 KWA MAUA MAPYA. na 4000 mpaka 5000 kwa maua ya zamani. Watu wananunua majora mta wa likoma na narungombe na kukata vijora.

Sijajua jamaa anatka kuwekeza kias gan ili nione anawezaje wezaje kufnikisha hilo
Atakuja kujibu hapa ila kikubwa kapata muongozo.

Njoo utoe muongozo jirani Lamomy
 
Leo nimezunguka mno kariakoo, sijafanikiwa kujua chimbo halisi la vijora. Kariakoo madukani Bei ni 5500 hadi 6000 Kwa visivyo na mtandio, na 10,500 hadi 11,000 kwa vyenye mtandio. Swali langu ni je, hawa wao wanaenda kununulia mzigo chimbo lipi, maana hata niliowauliza wamegoma kuniambia. Msaada wakuu
Kiongozi nami niongozee Japokuwa kidogo.

Ukiwa msimbazi pale pembeni ya kituo cha polisi (tandamti st.),
nyoosha moja kwa moja na tandamti kama unaelekea sokoni mpaka ukutane na nyamwezi st. (Tandamti na nyamwezi).

Ukishavuka tu mtaa wa nyamwezi (hutoona barabara kubwa ya mtaa maana hapo ndio kuna shimo la soko la kariakoo, utaona tu uchochoro wa kwanza kulia kwako, ukienda mbele kidogo kuna uchochoro mwingine) upande wako wa kulia nadhani jengo la kwanza au la pili angalia kuna kama ngazi zinashuka chini, huko kuna mafundi wanashona sana vijora Kwa oda. Unaweza kuchukua notes kidogo kwao.

Lakini kuwa makini nao pia, huwa wanapiga pia, unaweza ukamuuliza jora moja linatoa vijora vingapi akakutajia idadi pungufu.

Ukiweza kukusanya taarifa za kutosha utafanikiwa Inshaa Allaah. Upande wa vitambaa huo huo mtaa wa tandamti yapo maduka, lakini pia kuna maduka mengi ya vitambaa mtaa wa Likoma na maeneo jirani.
 
Kiongozi nami niongozee Japokuwa kidogo.

Ukiwa msimbazi pale pembeni ya kituo cha polisi (tandamti st.),
nyoosha moja kwa moja na tandamti kama unaelekea sokoni mpaka ukutane na nyamwezi st. (Tandamti na nyamwezi).

Ukishavuka tu mtaa wa nyamwezi (hutoona barabara kubwa ya mtaa maana hapo ndio kuna shimo la soko la kariakoo, utaona tu uchochoro wa kwanza kulia kwako, ukienda mbele kidogo kuna uchochoro mwingine) upande wako wa kulia nadhani jengo la kwanza au la pili angalia kuna kama ngazi zinashuka chini, huko kuna mafundi wanashona sana vijora Kwa oda. Unaweza kuchukua notes kidogo kwao.

Lakini kuwa makini nao pia, huwa wanapiga pia, unaweza ukamuuliza jora moja linatoa vijora vingapi akakutajia idadi pungufu.

Ukiweza kukusanya taarifa za kutosha utafanikiwa Inshaa Allaah. Upande wa vitambaa huo huo mtaa wa tandamti yapo maduka, lakini pia kuna maduka mengi ya vitambaa mtaa wa Likoma na maeneo jirani.
Hii nzuli sana umesaidia wengi..vipi na kuhusu viatu vile yebo huwa vinapatikana vipi kwa bei ya jumla?
 
Hii nzuli sana umesaidia wengi..vipi na kuhusu viatu vile yebo huwa vinapatikana vipi kwa bei ya jumla?
Kuhusu viatu ule ni mtaa wa Narung'ombe na maeneo yanayozunguka hapo.

Ukiwa mtaa wa Msimbazi na Narung'ombe ukienda kulia (upande ilipo klabu ya simba) maduka yapo mengi tu Japokuwa sasa kuna majengo yanabomolewa sana na kujengwa mapya.

Upande huo utapata karibia viatu aina zote, upande wa kushoto kama ilivyo kwenye screenshot huko mengi ni maduka ya yeboyebo, kuna sehemu mwanzo mwanzo tu ukiingia na hiyo barabara ni mtaa wa vumbi, pameshona sana mayeboyebo hata njia ya kukatiza madukani ni finyu.
 

Attachments

  • IMG-20240919-WA0006.jpg
    IMG-20240919-WA0006.jpg
    78.8 KB · Views: 21
Back
Top Bottom