Mwenye kujua chuo cha Wakala wa usalama na afya mahali pa kazi (OSHA)

Edson Zephania

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2011
Posts
517
Reaction score
112
naomba kujua mahali kilipo chuo hiki kilipo kwa hapa tanzania, au mwenye website yao naomba anipatie plizz

asanteni...............
 
Hiki ni chuo au wa wakala wa serikali?nawajua wapo karibu na Kinondoni mahakamani,unaingilia pale kinondoni Hospitali
 
Nashukuru sana wadau kwa msaada wenu, nimeshawapata hawa jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…