Mwenye kujua hesabu ya tax bubu au iliyosajiliwa Dar es salaam

Mwenye kujua hesabu ya tax bubu au iliyosajiliwa Dar es salaam

Hunteroflove

Senior Member
Joined
Sep 18, 2014
Posts
126
Reaction score
92
Anae jua hesabu ya tax Dar es salaam kwa siku au kwa week anijuze tafadhali na cost zinazohitajika
 
Ndugu yangu tax ilikuwa inalipa Labda kabla sijaota ndevu!mm mwenyewe nipo kwenye biashara ya usafiri lkn sikushauri hata kidogo kwa Tz kufanya biashara ya Tax kwani hata kwa miujiza hutorudisha pesa yako Licha ya faida,Nakushauri welcame kwenye Daladala,lkn uking'ang'ania tax utajuta kwa afadhali pool table linaingiza pesa nyingi kuliko tax
 
Ndugu yangu tax ilikuwa inalipa Labda kabla sijaota ndevu!mm mwenyewe nipo kwenye biashara ya usafiri lkn sikushauri hata kidogo kwa Tz kufanya biashara ya Tax kwani hata kwa miujiza hutorudisha pesa yako Licha ya faida,Nakushauri welcame kwenye Daladala,lkn uking'ang'ania tax utajuta kwa afadhali pool table linaingiza pesa nyingi kuliko tax

shukran kwa ushauri una aina gani ya gari na una muda gani please
 
Back
Top Bottom