Ndugu yangu tax ilikuwa inalipa Labda kabla sijaota ndevu!mm mwenyewe nipo kwenye biashara ya usafiri lkn sikushauri hata kidogo kwa Tz kufanya biashara ya Tax kwani hata kwa miujiza hutorudisha pesa yako Licha ya faida,Nakushauri welcame kwenye Daladala,lkn uking'ang'ania tax utajuta kwa afadhali pool table linaingiza pesa nyingi kuliko tax