Mwenye kujua historia ya kuandika katika lugha ya Kiswahili

Mwenye kujua historia ya kuandika katika lugha ya Kiswahili

Sideeq

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2009
Posts
2,422
Reaction score
434
Ningependa kufahamishwa historia ya Kiswahili kilianzia vipi kuandikwa, ilikuaje, nani aliyeamua herufi hizi tulizo nazo ziandikwe n.k.

PS Huu ni "uchokozi" wa kimjadala, kabla ya kujibu hakikisha umejiandaa vizuri.
 
Kiswahili cha mwanzo kilikuwa kinaandikwa kwa herufi za kiarabu... so kama neno la kiarabu linalotamkwa ka ndio herufi hiyo itaandikwa... Kuja kwa herufi tunazozitumia kwa sana sijui.... Nadhani watakuwa wajerumani au Waingereza....
 
Mkuu hilo nimewahi kulielezea hapa siku za nyuma sana tena kwa kirefu sana

Moja ya makala zangu hii hapa inajibu swali lako,

Kiswahili ni lugha ya Kibantu yenye misamiati mingi ya Kiarabu inayozungumzwa katika eneo kubwa la Afrika ya Mashariki.

Lugha hii ina utajiri mkubwa wa misamiati, misemo, mithali, mashairi, mafumbo, vitendawili na nyimbo. Kiswahili hutumika mashuleni na kuna vitabu vingi vilivyotungwa kwa kutumia lugha hiyo, vikiwa pamoja na vile vya hadithi, hekaya au riwaya.


Lugha ilianza takriban miaka 800-1000 iliyopita katika mazingira ya vituo vya biashara vya pwani ambako wafanyabiashara kutoka Uarabuni, Uajemi na Uhindi walikutana na wenyeji Waafrika. Lugha kuu ya kimataifa ya biashara hiyo ilikuwa Kiarabu.

Inaonekana ya kwamba lugha mpya ilijitokeza wakati wenyeji wa pwani, waliokuwa wasemaji wa lugha za Kibantu, walipopokea maneno mengi hasa ya Kiarabu katika mawasiliano yao. Kwa hiyo msingi wa Kiswahili ni sarufi na msamiati wa Kibantu pamoja na maneno mengi ya Kiarabu. Imekadiriwa ya kwamba theluthi moja ya maneno ya Kiswahili yana asili ya Kiarabu.

Kando ya Kiarabu kuna pia athira ya lugha mbalimbali kama Kiajemi, Kihindi na Kireno. Wakati wa karne ya 20 maneno mengi yalipokewa kutoka Kiingereza.

Kwa karne nyingi iliandikwa kwa herufi za Kiarabu (?????? sawaHili au ??? ???????? lugha sawaHiliya).


Sarufi ya kwanza pamoja na kamusi iliandikwa mwaka 1848 na Dr. Ludwig Krapf huko Rabai Mpya / Mombasa.

Kiswahili kilikuwa na lahaja nyingi kutokana na lugha mbalimbali za Kibantu zilizochangia mle.

Tangu karne ya 19 lugha ilianza kuenea barani kwa njia ya biashara.

Wakati wa ukoloni wa Uingereza lugha ilisanifishwa kwa njia ya Kamati ya kimaeneo ya lugha ya Kiswahili kwenye msingi wa lahaja ya Unguja
 
Kiswahili cha mwanzo kilikuwa kinaandikwa kwa herufi za kiarabu... so kama neno la kiarabu linalotamkwa ka ndio herufi hiyo itaandikwa... Kuja kwa herufi tunazozitumia kwa sana sijui.... Nadhani watakuwa wajerumani au Waingereza....
Ninakubaliana na wewe mfano Waarabu hawana G hivyo Kiswahili kilitumia ayn ya Kiarabu na kuweka doti tatu juu.

Waarabu hawana p hivyo Waswahili walitumia bee na kuweka doti tatu chini.

Kuja kwa herufi za sasa ndio sasa ambapo ningependa kuchambuliwa.
*Kwa bahati mbaya historia ya Kiswahili imevurugwa sana kama ilivyoharibiwa historia ya nchi.
 
Mkuu hilo nimewahi kulielezea hapa siku za nyuma sana tena kwa kirefu sana

Moja ya makala zangu hii hapa inajibu swali lako,
Kwa hiyo Dr. Ludwig Krapf ndiye aliyetupangia muundo huu wa uandishi wa Kiswahili tulio nao?
 
Kiswahili cha mwanzo kilikuwa kinaandikwa kwa herufi za kiarabu... so kama neno la kiarabu linalotamkwa ka ndio herufi hiyo itaandikwa... Kuja kwa herufi tunazozitumia kwa sana sijui.... Nadhani watakuwa wajerumani au Waingereza....
Vielelezo viambatanishwe tafadhali
 
Ninakubaliana na wewe mfano Waarabu hawana G hivyo Kiswahili kilitumia ayn ya Kiarabu na kuweka doti tatu juu.

Waarabu hawana p hivyo Waswahili walitumia bee na kuweka doti tatu chini.

Kuja kwa herufi za sasa ndio sasa ambapo ningependa kuchambuliwa.
*Kwa bahati mbaya historia ya Kiswahili imevurugwa sana kama ilivyoharibiwa historia ya nchi.

Samahani Kaka Sideeq,
hivi Kiarabu chote kinafanana?, hakuna tofauti ya kiarabu say cha Misri na cha Yemen ama Saudi Arabia?
Nadhani kuna kiarabu nika G na kingine hakina
 
Last edited by a moderator:
Samahani Kaka Sideeq,
hivi Kiarabu chote kinafanana?, hakuna tofauti ya kiarabu say cha Misri na cha Yemen ama Saudi Arabia?
Nadhani kuna kiarabu nika G na kingine hakina
KIMAANDISHI (herufi) hata hakuna G, O wala P katika Kiarabu.
Yericko Nyerere said:
Huuyo ndie
O.K tumwache Krapf kidogo halafu tutamrudia! kabla ya hapo aliyekikusanya Kiswahili na kuanzisha kukiandika kwa hati za Kiarabu ni nani?

Kwa mpenzi wa Kiswahili kama wewe sidhani kama utakua huijui historia hiyo.
Bujibuji said:
Vielelezo viambatanishwe tafadhali
Uandishi huu wa Kiswahili unatumika mpaka leo hii (zungusha akili yako kidogo)...upo kutokana na mtiririko nimejifunza kwa fulani , fulani naye kajifunza kwa fulani, fulani..mpaka kilipoanzia.
 
Vielelezo viambatanishwe tafadhali

Bujibuji hujaacha ukorofi tu bado eenh! yaani mpaka usadiki... umekuwa Tomaso..... Na wasiwasi na wewe unaweza kuwa ni Myahudi....

Hii Kitu niliisoma zamani kwenye website ya www.mwambao.com

language.jpg

Introduction
b-2.jpg
Name

b-2.jpg
Sounds

b-2.jpg
Noun Classes

Verb Affixation
Swahili Time
Dialects
References

Useful Links


Swahili (also called Kiswahili) is the Bantu language and the most widely spoken non-european language in Africa. Swahili is the mother tongue of the Swahili people who inhabit a 1500 km stretch of the East African coast from southern Somalia to northern Mozambique. It is spoken by over 50 million people, of whom there are approximately five million first-language speakers and thirty to fifty million second-language speakers. It is the Sub-Saharan African language with the most speakers and has become a lingua franca for East Africa and surrounding areas.

The name 'Kiswahili' comes from the plural of the Arabic word sahel ????: sawahil ????? meaning "boundary" or "coast" (used as an adjective to mean "coastal dwellers" or, by adding 'ki-' ["language"] to mean "coastal language"). The word "sahel" is also used for the border zone of the Sahara ("desert"). The incorporation of the final "i" is likely to be the nisba in Arabic (of the coast ??????), although some state it is for phonetic reasons.


Swahili is a national and/or official language in Tanzania, Kenya, Congo (DRC) and Uganda. It is also a local language in Burundi, Comoros Islands (including Mayotte), Malawi, Mozambique, Rwanda, some parts of southern Sudan and Somalia.Most traders, security personels, and the defense forces in the region use kiswahili to communicate effectively among themselves. Swahili belongs to the Sabaki subgroup of the Northeastern coast Bantu languages. It is closely related to the Mijikenda group of languages, Pokomo, Ngazija, etc. Over a thousand years of intense and varied interaction with the Middle East, Arabia, Persia, India, China, Portugal, and England has given Swahili a rich infusion of loanwords from a wide assortment of languages.

The Comorian languages, spoken in the Comoros and Mayotte, are closely related to Swahili. Despite the substantial number of loanwords present in Swahili, the language is in fact Bantu. In the past, some have held that Swahili is variously a derivative of Arabic, that a distinct Swahili people do not exist, or that Swahili is simply an amalgam of Arabic and African language and culture, though these theories have now been largely discarded.

The distinct existence of the Swahili as a people can be traced back over a thousand years, as can their language. In structure and vocabulary Swahili is distinctly Bantu and shares far more culturally and lingustically with other Bantu languages and peoples than it does with Arabic, Persian, Indian etc. In fact, it is estimated that the proportion of non-African language loanwords in Swahili is comparable to the proportion of French, Latin, and Greek loanwords in the English language.

One of the earliest known documents in Swahili is an epic poem in the Arabic script titled Utendi wa Tambuka ("The History of Tambuka"); it is dated 1728. The Latin alphabet has since become standard under the influence of European colonial powers. As in English, the proportion of loan words changes as the speaker is communicating at a "lower" or "higher class" situation. In English, a discussion of say, body functions, sounds much nicer if you use Latin-derived words with occasional French terms rather than Germanic-derived words (so-called four-letter words); an educated Swahili speaker will likewise use many more Arabic-derived words with English terms in polite circumstances, though the same phrase could usually be said in Swahili using only words of Bantu origin.

One of the most famous phrases in Swahili is "hakuna matata" from Disney's "The Lion King" and "Timon and Pumbaa" cartoon series. It means "no problem" or "no worries" (literally: "there are no problems"). Disney's characters Simba and Rafiki also owe their names to Swahili, meaning 'lion' and 'friend' respectively. Nala means "gift." Also Pumbaa means "careless" and Shenzi (one of the hyenas) means "barbarous". The African American holiday of Kwanzaa derives its name from two Swahili words kwanza which means "first" or "beginning." and zaa which means "bear fruit". Safari (meaning "journey") is another Swahili word that has spread worldwide.


Swahilionline.com - Religion
 
Mlaleo said:
The Latin alphabet has since become standard under the influence of European colonial powers.
Nimeipenda hii.

Senksi.
 
Back
Top Bottom