BARA BARA YA 5
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,174
- 835
Ndugu wadau,nimeambiwa huko kuna mashamba yanayofaa kwa kilimo cha mazao.mbalimbali,bei hadi laki 1.5 kwa ekari sasa nataka kujilipua mwaka huu.
Asanteni
Asanteni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... maelezo hayo in connection na title ya thread; unauliza au unatoa taarifa ndugu mkulima?Ndugu wadau,nimeambiwa huko kuna mashamba yanayofaa kwa kilimo cha mazao.mbalimbali,bei hadi laki 1.5 kwa ekari sasa nataka kujilipua mwaka huu.
Asanteni
Huyo mleta mada ni chizi, achana naye... maelezo hayo in connection na title ya thread; unauliza au unatoa taarifa ndugu mkulima?
Kauliza,jalibu kumuelewesha husitumie lugha Kama hii siyo vizuriHuyo mleta mada ni chizi, achana naye