Mwenye kujua Lodge au hotel mzuri njombe

Mwenye kujua Lodge au hotel mzuri njombe

hp4510

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
7,235
Reaction score
7,392
Kesho Nina safari ya njombe, naomba msaada kwa mtu yoyote ambae yuko njombe

Anipe connection ya hotel au lodge mzuri ya kuanzia elf 40 Kuja chini

Iwe kwenye maeneo Mazuri ambayo ni easy pia kufika
 
Kesho Nina safari ya njombe, naomba msaada kwa mtu yoyote ambae yuko njombe

Anipe connection ya hotel au lodge mzuri ya kuanzia elf 40 Kuja chini

Iwe kwenye maeneo Mazuri ambayo ni easy pia kufika

nimesahau jina ila ukiwa hapo mjini sheli ya Total ingia hapo kwa nyuka, kwa chini kuna kighorofa wanalaza kwa 35k pako poa hutajutia kwa mazingira ya miakoani
 
Bei hiyo sina hakika utapata wapi ila kuna moja iko barabarani kuelekea Songea ina kigorofa. Ni muzuri na wahudumu wake wana adabu. Sikumbuki jina inaitwaje ila ukiwa unaelekea Songea iko mkono wa kushoto.
 
Ule mtaa wa msikiti mkubwa wa ijumaa kuna lodge nyingi mzuri sana pia kumechangamka na vyakula vya kutosha ni town hapo hapo.
 
Bei hiyo sina hakika utapata wapi ila kuna moja iko barabarani kuelekea Songea ina kigorofa. Ni muzuri na wahudumu wake wana adabu. Sikumbuki jina inaitwaje ila ukiwa unaelekea Songea iko mkono wa kushoto.

ya mama makinda
 
Bei hiyo sina hakika utapata wapi ila kuna moja iko barabarani kuelekea Songea ina kigorofa. Ni muzuri na wahudumu wake wana adabu. Sikumbuki jina inaitwaje ila ukiwa unaelekea Songea iko mkono wa kushoto.
Agreement Hotel
 
Nenda " KUOKOKA NI LAZIMA GUEST HOUSE" Ila kama una mchepuko usiende wanataka vyeti vya ndoa na udhibitisho toka kwa mjumbe kuwa uliye naye ni Mkeo kama ilivyo baadhi ya hotel za Zanzibar
 
Nenda " KUOKOKA NI LAZIMA GUEST HOUSE" Ila kama una mchepuko usiende wanataka vyeti vya ndoa na udhibitisho toka kwa mjumbe kuwa uliye naye ni Mkeo kama ilivyo baadhi ya hotel za Zanzibar
Tabu yote ya nini....
 
Back
Top Bottom