Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rushwa adui wa haki!....ni vema tupeane elimu kwa manufaa ya vizazi vijavyo
Kuna timu msimu huu wa 2023-2024 itaitwa mbeleko fcNimerudia zaidi ya mara 20 kutazama hili tukio, lkn sijaona sababu za...
Hebu nawe Niambie Hili Goli kwann Lilikataliwa Shida hapa ni IhefuNimerudia zaidi ya mara 20 kutazama hili tukio, lakini sijaona sababu za kukataliwa kwa goli la Singida FG.
Kwakuwa humu JF kuna wabobezi wa sheria ya offside, ni vema tupeane elimu kwa manufaa ya vizazi vijavyo.
Natanguliza shukrani
Nimerudia zaidi ya mara 20 kutazama hili tukio, lakini sijaona sababu za kukataliwa kwa goli la Singida FG.
Kwakuwa humu JF kuna wabobezi wa sheria ya offside, ni vema tupeane elimu kwa manufaa ya vizazi vijavyo.
Natanguliza shukrani
Gape la 3 linawapa kiwewe,,bado muda upo wa kushtaki cas.
Match ya 5 kwenye ligi gape la points 3 ni nothing,kikubwa tunaweka mambo sawa kila mtu ajiridhishe kinachofanyika ili na sisi tuache mpira tufanye kama haya wanayofanya wenzetu halafu mwisho wa siku tuone nani ataliaGape la 3 linawapa kiwewe,,
OkKwenye video ni kama mchezaji wa Singida alikuwa offside kabla halafu akaiua akarudi nyuma move ya vipasi ilipotokea akapata mpira akafunga kukiwa na mabeki wawili,sasa sijui refa aliangalia offside ya kabla ila mbona mchezaji aliua akarudi na mpira ukaendelea kwa mda
SahihiMatch ya 5 kwenye ligi gape la points 3 ni nothing,kikubwa tunaweka mambo sawa kila mtu ajiridhishe kinachofanyika ili na sisi tuache mpira tufanye kama haya wanayofanya wenzetu halafu mwisho wa siku tuone nani atalia
HahahahaaaaOffside. Kwenye TV huwezi ona
Jaman toa maoni yako juu ya mada iliyowekwa mezani then leta mada yakoHebu nawe Niambie Hili Goli kwann Lilikataliwa Shida hapa ni Ihefu
View attachment 2776004
Napenda ufafanue tukio husika. Naamini una akili za kutosha kujua mada inataka nnbado muda upo wa kushtaki cas.