Mwenye kujua sifa za kisimbuzi kipya cha Azam cha antena ukilinganisha na cha dish cha Azam

Mwenye kujua sifa za kisimbuzi kipya cha Azam cha antena ukilinganisha na cha dish cha Azam

kikoozi

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2015
Posts
2,094
Reaction score
3,108
Habarini wakuu, nataka kununua kisimbuzi cha Azam na ninaweza kununua cha dish na cha antena maana bei elekezi nasikia ni 130000 cha dish na 99000 cha natena, ila sijajua icho cha antena utofauti wake na cha dish ni kwenye nini, mtu akiwa na dish anafaidika na nini ambacho mwenye antena hapati, karibuni sana.
 
Habarini wakuu, nataka kununua kisembuzi cha azam na ninaweza kununua cha dish na cha antena maana bei elekezi naskia ni 130000 cha dish na 99000 cha natena, ila sijajua icho cha antena utofauti wake na cha dish ni kwenye nini, mtu akiwa na dish anafaidika na nini ambacho mwenye antena hapati, karibuni sana.
Na mimi niambie kwa nini umechagua azam na siyo continental, startimes, au kingine chochote nataka kununua kwa ajili ya habari za nyumbani maana kwa sasa niko na TBC tu.
 
Habarini wakuu, nataka kununua kisembuzi cha azam na ninaweza kununua cha dish na cha antena maana bei elekezi naskia ni 130000 cha dish na 99000 cha natena, ila sijajua icho cha antena utofauti wake na cha dish ni kwenye nini, mtu akiwa na dish anafaidika na nini ambacho mwenye antena hapati, karibuni sana.
nasubiri majibu🧑‍🎤🧑‍🎤
 
Na mimi niambie kwa nini umechagua azam na siyo continental, startimes, au kingine chochote nataka kununua kwa ajili ya habari za nyumbani maana kwa sasa niko na TBC tu.
azam nawapenda kwenye channel zao nzuri, pamoja na ung"aaji wa picha, pia ni kampuni ambayo naona uko mbele itakuwa bora zaidi katika kutoa service ukilinganisha na izo zingine ila namba moja ni DSTV
 
Hapo unafuu ni kwenye gharama za kukinunua tu ni chini, kulinganisha na cha dish, hutaitaji fundi wa kufunga dish, ila malipo ya kila mwezi ni sawa, tu, faida nyingine ni kuwa kama hapo mkoani kwako kuna local channels za hapo utakuwa na uwezo wa kuzipata. Faida nyingine labda ni kuto kukatika katika mawasiliano hasa kipindi cha mvua, faida nyingine ni unafuu wa bei ya malipo ya kila mwezi kwani kitaanzia 8000,azamu ndio watakuwa na kifurushi cha bei ya chini kulinganisha na makampuni mengine, huku vipindi kiasi fulani wanajitahidi, na ubora wa picha.
 
Duh kumbe sasa hivi kuna ving'amuzi vya Azam vya antena haki sijalijua hilo before
 
Cha bei ya chini kabisa kinakuwa na channels ngapi
Hapo unafuu ni kwenye gharama za kukinunua tu ni chini, kulinganisha na cha dish, hutaitaji fundi wa kufunga dish, ila malipo ya kila mwezi ni sawa, tu, faida nyingine ni kuwa kama hapo mkoani kwako kuna local channels za hapo utakuwa na uwezo wa kuzipata. Faida nyingine labda ni kuto kukatika katika mawasiliano hasa kipindi cha mvua, faida nyingine ni unafuu wa bei ya malipo ya kila mwezi kwani kitaanzia 8000,azamu ndio watakuwa na kifurushi cha bei ya chini kulinganisha na makampuni mengine, huku vipindi kiasi fulani wanajitahidi, na ubora wa picha.
 
Azam hivi kwanini alikurupuka kuacha kuonyesha La Liga Na kukimbilia Bundasliga?
 
Mkuu ubora wa picha unaweza fika 1080 pixels? Yaani full HD au ndo kama vya 720 px yaani HD?

Ni provider gani hapa bongo ana kisimbuzi chenye 2160 px yaani 4K?
Kiongozi niwe mkweli tu, naomba tusubilie hiyo tarehe moja December, watakapoanza kuviuza ndio tutajua yaliyomo yamo!! Kwani kwa mujibu wao wanasema ni hd!! Kwa bongo hakuna hayo mambo ya 4k!!!hiyo full hd tu ni tabu, sembuse huko kwenye 4k!!na itachukua muda sana!!
 
Kiongozi niwe mkweli tu, naomba tusubilie hiyo tarehe moja December, watakapoanza kuviuza ndio tutajua yaliyomo yamo!! Kwani kwa mujibu wao wanasema ni hd!! Kwa bongo hakuna hayo mambo ya 4k!!!hiyo full hd tu ni tabu, sembuse huko kwenye 4k!!na itachukua muda sana!!
Kumbe bado havijaanza kuuzwa ? Me nilitaka nikuchukue leo hii
 
Kwa bongo hakuna hayo mambo ya 4k!!!hiyo full hd tu ni tabu, sembuse huko kwenye 4k!!
Kuna binadamu hapa Tanzania ni washamba sana, kwenye mambo ya technologia anatumia kamera ya 4k utadhani product yake itatumika kumbe itambidi aconvert picha ije kwenye 1080x720.
 
Back
Top Bottom