Bila kupoteza muda, Kama mada tajwa hapo juu mimi nikijana mkulima na mfugaji napambania ndoto zangu za kujikwamua na huu umaskini, mwenye kuhitaji au kujua soko lilipo la mashine za kupulizia dawa ( sprayer pump 16L/2L), na spareparts zake kama spare complete za chuma, bati na plastiki, pamoja na nozzle na rubber karbuni sana. Ikumbukwe nyakati za kilimo zshakarbia kabisa.
Tunapatikana Dsm na Mwanza