BJBM
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 664
- 600
Habari zenu wakuu. Natumai nyote ni wazima.
Kama mada tajwa hapo juu inavyojieleza, ningependa kujua tofauti kati ya watu hao wawili kwani nimekuwa nikipata shida sana katika kutofautisha kati ya mjasiriamali na mfanyabiashara.
Uzi huu nimeufungulia jukwaa hili nikiamini ntapewa majibu kwa ufasaha zaidi.
Naomba kuwasilisha.
Kama mada tajwa hapo juu inavyojieleza, ningependa kujua tofauti kati ya watu hao wawili kwani nimekuwa nikipata shida sana katika kutofautisha kati ya mjasiriamali na mfanyabiashara.
Uzi huu nimeufungulia jukwaa hili nikiamini ntapewa majibu kwa ufasaha zaidi.
Naomba kuwasilisha.