Asante mkuu kwa kunielewesha. Nimekuelewa lakini in a very thin line, nahitaji nikuulize zaid ili nami nipanuke kiuelewa katika hili.
Umesema,"Mjasiriamali ni mtu mwenye kuamini
mawazo yako, malengo yake na ndoto
zake katika shughuli fulani ya
kujiajiri". Unataka kuniambia wafanyabiashara asilimia kubwa wanakuwa hawana malengo, mawazo wala ndoto zakufikia ktk kile wanachokifanya?