[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahWatu ambao hata baraza la mitihani likiuliza umri wao lazima wanafunzi wafeli
1:Humphrey polepole
2:Steve nyerere
3:Juma kaseja
4:wema sepetu
Tena polepole ndio anachanganya zaidi..asubuhi ukimuona ni kama mzee kiaina..ukikutana nae mchana kama dogo wa advance..usiku kama kijana..ili mradi haeleweki tu
Uongoooo mtupuuu.Yeah, alidanganya ana 18 ili asikataliwe kushiriki Miss TZ kwa kuonekana underage.
khaaaaah
Hizi futuhi muwage mnaangalia Pa kuwekaaa, ll
Sina sababu ya kudanganya hapa mimi naandika kitu nina uhakika nacho.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
Hizi futuhi muwage mnaangalia Pa kuwekaaa, lol
Haya bhana ,ila msichana wa mika 16 ukimtizama tu unauona kabisa utoto wake,basi walianza kumt***mba siku nyingi sanaSina sababu ya kudanganya hapa mimi naandika kitu nina uhakika nacho.
Nakumbuka tulikuwa kwenye msiba wa bibi yetu mwezi wa tisa mwaka 2006 maeneo ya Tabata. Wema alihudhuria kwenye huo msiba kama rafiki yake na binamu yangu.
Ndugu tuliokuwepo pale tukaambiwa huyu anaitwa "Wema" anashiriki miss Tanzania anawakilisha Kinondoni. Baadaye kwenye story za hapa na pale nikamuuliza Binamu "Mbona wewe na Wema kama mnalingana hivi, lakini wewe umeshindwa kushiriki kisa umri". Binamu alinambia Wema kafanyiwa mpango kaongeza umri ili aweze kushiriki mashindano. Siku kadhaa mbele Wema alishinda taji hilo.
Sasa nidanganye ili nipate faida gani. I'm just sharing what I Know uamini usiamini sio shida zangu.
Huyu atakuwa ana miaka 9 😁Kama baba ana miaka 33,
huyu binti yake mkuu wa wilay alimzaa na miaka mingapi[emoji848]View attachment 2485650
Aisee kumbe ni kijeba2006 alikuwa ana range 18-20 kadiria
Atakua immortalHaijulikani ila inasemekana alisoma na Mama Anna makinda shule ya msingi
33yrsYani huyu sijui ni muweke kwenye kikundi gani cha wasichana, dada, mama, watuwazima au wakongwe.
Bado naona yupo kwenye ujana tu na vijana. Leo nikitafakari umri wetu na wale waliokuwa mpaka wana watoto wapo shule za msingi, sekondari na vyuo.
Ina maana umri tumeletewa au tunazeeka wachache nchi ila wasanii hapana.
View attachment 2484460
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]itakua wamekosea bwana mwanawe si mkurugenzi sijui mkuu wa Wilaya?View attachment 2484497
mwengine huyu hapa
Kwani kuhoji umri wa celebrity ni kosa?
Wema ni wa mwaka 1990
Mwaka huu anatimiza 33
Uko sahihi..alikua anatembea na dogo mmoja pale Sinza Mori. Huyo dogo kwao nyumba ipo barabarani mboga saba, alikua tozi sana. Enzi hizo ka-Wema kanasubiri gari la shule na sketi zao za draft pale Mori.Wema Sepetu amezaliwa mwaka 1990. Nina uhakika na hili, taarifa hii nilipenyezewa na classmate wake (binamu yangu) waliyesoma naye Academic International School.
Huyo binamu yangu naye alitamani kwenda Miss Tanzania kikwazo ikawa umri mdogo. Alisema Wema alidanganya umri ili ashiriki. Hata Mange aliwahi sema hii kitu.
Duh yaani uzaliwe '89 halafu '96 upo UDSM [emoji119][emoji119] huyu hapana aiseeView attachment 2484497
mwengine huyu hapa
Hii chai ya moto sana.Wema ni miss Tz mwaka 2006, kwahiyo alikuwa na miaka 16
Yaani amegraduate akiwa na miaka sabaView attachment 2484497
mwengine huyu hapa
Sana.Aisee kumbe ni kijeba
unavyomuona ndo umri wake!!!ado naona yupo kwenye ujana tu na vijana.
Back then ndivyo ilivyokuwa ikisemekana, inawezekana ikawa ni uongo yeah.Uongoooo mtupuuu.
Swali zuri sana lenye mantikiKwakonShida ni nini kwani?