Mwenye kujua utundu wa simu anisaidie

Unatumia simu gani?

1. Toa WhatsApp iliopo.
2. Download upya WhatsApp kutoka Google Play.
3. Dissable line ambayo haina iyo WhatsApp No kwa muda.
4. Login
 
Nilikutana na hii kitu miezi minne imepita nikapigwa Ban na Whatsapp(Nilikuwa natumia ambayo si official).
Tangu wkt huo nimejaribu kila namna ku Download Whatsapp Messenger au businnes kwa kupitia Google play na wkt mwingine ku download apk kupitia browser.
Imegoma kabsa.
Licha ya jitihada ya kutuma email na kuwaomba radhi wtsap.
Mambo bado yamegoma..
Huenda kuna mbinu mbadala..
Msaada tafadhali.
 
Utakuwa ulikosea kujieleza kwenye email uliyowatumia wakaona wakupe permanent ban
 
Acha kutumia simu used hasa za Oppo...nenda dukani kanunue simu kwenye box, hiyo imechezewa, watakudukua dkk 0.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…