Mwenye kujua

Comi

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2011
Posts
3,328
Reaction score
958
Nahitaji msaada kwa mwenyekujua ni sheria ipi na ya mwaka gani ambayo haimruhusu dereva kutembea na kopi ya leseni na nini adhabu yake iwapo atakamatwa
 
Akunaga sheria ya kutembea na photocopy ya kitu chochote labda iwe certified na mwanasheria .Dereva popote lazima awe na leseni original.kama umepoteza inabidi utembee na police loss report.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…