Kuna jamaa yangu mmoja kanipigia simu asubuhi ya leo akiwa Mwanza akinitaka nijiunge na hili shirika kwa ahadi ya kunufaika kiuchumi baada ya kushiriki mafunzo yao na kutoa kiingilio cha Tz shs 100'000. Niwaombe wakuu wangu humu jamvini kabla sijaingia chaka mnipe uzoefu wa hawa jamaa.