masanjasb
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 2,364
- 867
Waungwana wasalaam?
nakumbuka mwaka 2005 wakati wa uchaguzi mkuu viongozi wa ccm waliopo madarakani sasa walitumia maneno na majina ya ajabu kwa wagombe wenza hasa wa vyama vya upinzani mfano mkoa wa Tabora,Mwanza,na Shinyanga,kulikuwa na maelekzo toka kwa wapiga debe wa ccm kuwa katika majina matatu ya wagombea wa urais ongeza VU na kama likileta maana basi usimchague huyo mtu kuwa Rais nalisipoleta maana huyo mtu anafaa kuwa Rais wa Tanzania
Mfano:
MREMA+VU=
LIPUMBA+VU=
KIKWETE+VU=hili halikuleta maana na ndiyo maana leo ni Rais wa JMT,na kama mnavyojua mtaji wa ccm uko sana mikoa hyo na watu wa mkoa ya kanda ya ziwa kielimu wako chini sana na wepesi wakuamini maneno ya uongo na bila kuyatafakali,japo kwa sasa wamechange kutokana na elimu ya uraia inayotolewa na M4C+Asasi za Kiraia
RAI YANGU:
haya maneno naomba yasitumiwa tena kwenye uchaguzi mkuu ujao na wala vyama vya upinzani visitumie maneno kama hayo ya kudharirisha utu wa mtu kisa madaraka.
kwa wenzangu wa mikoa ya arusha,mtwara.iringa.mbeya,dodoma,kulikuwa na maneno gani kwenu huko mwaka 2005? hata 2010 ili tuombe hayo maneno yasijirudie tena na tena
nakumbuka mwaka 2005 wakati wa uchaguzi mkuu viongozi wa ccm waliopo madarakani sasa walitumia maneno na majina ya ajabu kwa wagombe wenza hasa wa vyama vya upinzani mfano mkoa wa Tabora,Mwanza,na Shinyanga,kulikuwa na maelekzo toka kwa wapiga debe wa ccm kuwa katika majina matatu ya wagombea wa urais ongeza VU na kama likileta maana basi usimchague huyo mtu kuwa Rais nalisipoleta maana huyo mtu anafaa kuwa Rais wa Tanzania
Mfano:
MREMA+VU=
LIPUMBA+VU=
KIKWETE+VU=hili halikuleta maana na ndiyo maana leo ni Rais wa JMT,na kama mnavyojua mtaji wa ccm uko sana mikoa hyo na watu wa mkoa ya kanda ya ziwa kielimu wako chini sana na wepesi wakuamini maneno ya uongo na bila kuyatafakali,japo kwa sasa wamechange kutokana na elimu ya uraia inayotolewa na M4C+Asasi za Kiraia
RAI YANGU:
haya maneno naomba yasitumiwa tena kwenye uchaguzi mkuu ujao na wala vyama vya upinzani visitumie maneno kama hayo ya kudharirisha utu wa mtu kisa madaraka.
kwa wenzangu wa mikoa ya arusha,mtwara.iringa.mbeya,dodoma,kulikuwa na maneno gani kwenu huko mwaka 2005? hata 2010 ili tuombe hayo maneno yasijirudie tena na tena