Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umemzumzia mtu muhimu sana kwenye harakati za ukombozi wa nchi yetu.kwa kifupi tu alikuwa ni mzee wa kislam anayejitambua kutokana na misimamo yake ya kidini ndio iliyopelekea akakosana na mwalimu lakini ukitaka habari zaidi tafuta kitabu kinachoitwa HARAKATI ZA WAISLAM NA KUGOMBEA HUURU WA TANGANYIKA mkuu utapata habari za huyu mzeeJamani mwenye historia ya huyu mdau aliyekuwa mwenyekiti Wa balaza la wazee TANU anijuze ilikuwaje mpaka akagombana na mwalimu.
huyu mwenyekiti Wa uvccm Lindi wanaundugu?Mkuu umemzumzia mtu muhimu sana kwenye harakati za ukombozi wa nchi yetu.kwa kifupi tu alikuwa ni mzee wa kislam anayejitambua kutokana na misimamo yake ya kidini ndio iliyopelekea akakosana na mwalimu lakini ukitaka habari zaidi tafuta kitabu kinachoitwa HARAKATI ZA WAISLAM NA KUGOMBEA HUURU WA TANGANYIKA mkuu utapata habari za huyu mzee
Mohameid Said na @Yericco Nyerere
yericho ni mbwiga tu hana lolote
yericho ni mbwiga tu hana lolote
yericho ni mbwiga tu hana lolote