mwenye kutaka kuku wa kienyeji dar es salaam

Mambo mengine bwana.hadi kuku unataka picha.imekuwa gari?
Vipi mkuu watakuwepi baada ya sikuu au ndiyo promotion ya xmas?

Mkuu nina uzoefu na hilo suala ndo maana nikaomba picha. Nilishawahi kuletewa kuku wanaitwa "chotara" in the name of kuku wa kienyeji, so kalagabaho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…