Mwenye masikio na asikie

Mwenye masikio na asikie

Younguther

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2019
Posts
243
Reaction score
483
Kumpa mwanaume huduma zote za mke ikiwemo kumfulia, kumpikia,tendo la ndoa nk wakati hajakulipia mahari ni kuchafua nyota yako. Huo ndio ukweli japo mchungu

Mwanaume lazima umnyime haki za ndoa ili umuoneshe umuhimu wa yeye kukamilisha taratibu zote akuchukue kwenu na kukutumia kihalali, wanawake msikubali kuwa bidhaa cheap

Tabia yenu hii ya kujirahisisha ndio inayowapa kiburi vijana wengi kutokuoa na kuwachezea sana

Na ndio maana hata waoaji wamepungua kwakuwa huduma inapatikana kwa urahisi kabisa maadili yameharibika mno

Unakuta kamdada hakajaolewa ila kanafanya tendo la ndoa kila siku, kanaenda kanafua, kanadek, kanapika kanapigwa show kanapewa nauli ya boda na afutatu🤔

Acheni uasherati vijana

Shwain
 
Kumpa mwanaume huduma zote za mke ikiwemo kumfulia, kumpikia,tendo la ndoa nk wakati hajakulipia mahari ni kuchafua nyota yako. Huo ndio ukweli japo mchungu

Mwanaume lazima umnyime haki za ndoa ili umuoneshe umuhimu wa yeye kukamilisha taratibu zote akuchukue kwenu na kukutumia kihalali, wanawake msikubali kuwa bidhaa cheap

Tabia yenu hii ya kujirahisisha ndio inayowapa kiburi vijana wengi kutokuoa na kuwachezea sana

Na ndio maana hata waoaji wamepungua kwakuwa huduma inapatikana kwa urahisi kabisa maadili yameharibika mno

Unakuta kamdada hakajaolewa ila kanafanya tendo la ndoa kila siku, kanaenda kanafua, kanadek, kanapika kanapigwa show kanapewa nauli ya boda na afutatu🤔

Acheni uasherati vijana

Shwain
Usirudishe miaka nyuma huo ulimwengu tushatoka. Shtuka Kama unaona hvo vikazi ndo vinavyomfanya mfanya kuoa au ndo mwanamke anavitaka hapo umefeli mwanaume hataki kupikiwa Wala kufuliwa staili nyingi za tendo la ndoa Kama mnacheza picha za ngono unawezq ukawanavyo vyooote hvyo Ila kichwa kikiwa box ushafeli utaumiza mwili wako na sehemu zako za uzazi
 
Usirudishe miaka nyuma huo ulimwengu tushatoka. Shtuka Kama unaona hvo vikazi ndo vinavyomfanya mfanya kuoa au ndo mwanamke anavitaka hapo umefeli mwanaume hataki kupikiwa Wala kufuliwa staili nyingi za tendo la ndoa Kama mnacheza picha za ngono unawezq ukawanavyo vyooote hvyo Ila kichwa kikiwa box ushafeli utaumiza mwili wako na sehemu zako za uzazi
Sawa zama zimebadilika, je lakin wanachokifanya ni sahihi?
 
Sawa zama zimebadilika, je lakin wanachokifanya ni sahihi?
Ukitaka usahihi hata tukija kwenye swala la uchumba halipo yaan nwanaumei anatakiwa aonane na mzee wako moja kwa moja ndo aje kwako sasa bhas baada ya miaka KWENDA na Karne kubadilika kuolewa imekuwa guess kwa mwanamke na imegeuka si kipaumbele Cha mwanaume ikumbukwe hivi hyo miaka ya kipaumbele Cha mwanaume kuoa ulikuwa akishafika miaka ishirini ujue mwanaume kakosa sana ana mtoto mmoja au wawili tofauti na hivi sasa mwanaume anafika miaka 35 hakumbuki neno kuoa

Kama nilivokwambia Kama kuolewa NI fursa ukaja msemo nyie kwa nyie wanawake mkatiana maneno mkaja na usemi unaosema fursa usisubiri ikufate jaribu kutengeza fursa ndo upate unachotaka (kamatia fursa) ndo hichi kinachofanywa na madada wengi wa mjini wenzako wapo wanaomfanyia kila kitu mwanaume zaudi ya mke mwisho wa siku anaolewa wenye bahati zao na yule anayekosa vigezo vya kuwa zaidi ya mke anaendelea kutafuta sehemu nyngne NI hayo tu
 
Ukitaka usahihi hata tukija kwenye swala la uchumba halipo yaan nwanaumei anatakiwa aonane na mzee wako moja kwa moja ndo aje kwako sasa bhas baada ya miaka KWENDA na Karne kubadilika kuolewa imekuwa guess kwa mwanamke na imegeuka si kipaumbele Cha mwanaume ikumbukwe hivi hyo miaka ya kipaumbele Cha mwanaume kuoa ulikuwa akishafika miaka ishirini ujue mwanaume kakosa sana ana mtoto mmoja au wawili tofauti na hivi sasa mwanaume anafika miaka 35 hakumbuki neno kuoa

Kama nilivokwambia Kama kuolewa NI fursa ukaja msemo nyie kwa nyie wanawake mkatiana maneno mkaja na usemi unaosema fursa usisubiri ikufate jaribu kutengeza fursa ndo upate unachotaka (kamatia fursa) ndo hichi kinachofanywa na madada wengi wa mjini wenzako wapo wanaomfanyia kila kitu mwanaume zaudi ya mke mwisho wa siku anaolewa wenye bahati zao na yule anayekosa vigezo vya kuwa zaidi ya mke anaendelea kutafuta sehemu nyngne NI hayo tu
Twende sawa kwanza mim siyo mwanamke broh, but naumia kuona dada zangu wanakuwa cheap kwa ujinga wao
 
Twende sawa kwanza mim siyo mwanamke broh, but naumia kuona dada zangu wanakuwa cheap kwa ujinga wao
Pole Sana mkuu Ila ile sio cheap NI asili yao na nadhani washafikia umri was kuolewa na pengine umri unakaribia kumtupa mkono namaanisha soon ataitwa (mshangazi) na vijana wakole

Kinachotakiwa kuwa nao karibu ili ujue kwanza anafanta for funny au kwa lengi la kukutafutia shemeji haswa pili angalia anakosea wapi Mana wewe tayari upo kwenye system unajua sir wanaume tunataka nini japo NI ngumu Mana itakuwa Kama unamkuwadia sista Ila sio hvo

Ukiwa wewe unaona aibu na yeye anajihisi hvo hvo akiona asilimia kubwa ya rika lake lishaingia kwenye ndoa hvo wee mpe uhalisia was mwanaume anayoyapenda kubwa mwambie ajiheshimu na awe mtu MWENYE future mengi e tutarekebishana kwenye ndoa Hilo tu

Shukuru mungu sista anapata mtu was kukaa naye ghetto na kupika na kumfulia NI NZURI anzia hapo anafeli wapi mpaka anarudi tena nyumbani
 
Back
Top Bottom