ministrant
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 754
- 1,478
Wasalaam,
Msaada kwenye tuta ili kuepukana na changamoto ya kuuziwa mbao zisizo na ubora kwa kuaminishwa kuwa zina dawa na baada ya muda mfupi wadudu waharibifu wanaanza kubungua mbao.
Mwenye mawasiliano na hawa jamaa tafadhali atusambazie upendo humu jukwaani.
NB: Site ipo Dsm
Msaada kwenye tuta ili kuepukana na changamoto ya kuuziwa mbao zisizo na ubora kwa kuaminishwa kuwa zina dawa na baada ya muda mfupi wadudu waharibifu wanaanza kubungua mbao.
Mwenye mawasiliano na hawa jamaa tafadhali atusambazie upendo humu jukwaani.
NB: Site ipo Dsm