ministrant
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 754
- 1,478
Check inbox.Wasalaam,
Msaada kwenye tuta ili kuepukana na changamoto ya kuuziwa mbao zisizo na ubora kwa kuaminishwa kuwa zina dawa na baada ya muda mfupi wadudu waharibifu wanaanza kubungua mbao.
Mwenye mawasiliano na hawa jamaa tafadhali atusambazie upendo humu jukwaani.
NB: Site ipo Dsm
Ufafanuzi tafadhali wa eneo specificNenda Sao Hill Mandela Road
Una roho mbaya kichizi mwamba badilika umsaidie kijana hapo. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu, Nenda pale Mandela Road utawapata, au wasiliana na namba hii, 0715937081 atakusaidia, ni mfanyakazi wa Sao Hill muda mrefu. Nimenunua sana mbao pale. Mbao za Sao Hill ni mbao bora sana. Sema tu jipange maana wana bei haoWasalaam,
Msaada kwenye tuta ili kuepukana na changamoto ya kuuziwa mbao zisizo na ubora kwa kuaminishwa kuwa zina dawa na baada ya muda mfupi wadudu waharibifu wanaanza kubungua mbao.
Mwenye mawasiliano na hawa jamaa tafadhali atusambazie upendo humu jukwaani.
NB: Site ipo Dsm
Katikati ya Tabata relini na kituo cha gereji kushoto kama unaenda Ubungo.
Shukrani sana MkuuKatikati ya Tabata relini na kituo cha gereji kushoto kama unaenda Ubungo.View attachment 2500327