Asante mkuu kwa ushauri wako ila ngependa kushare ideas ili npate mwelekeo si unajua tena aya mamboFanya tu mkuu usiwaze ..ukitaka kujua kitu fanya ..hii ndo njia bora zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kiongozi ila si unajua vijijini ni uchache wa watu ndo tatizoHakuna biashara mijini toka nje ya mji ule mema ya nnchi hii hapo purukushani za kodi na wateja wakugombania kama corona
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitimu mwezi wa 7 alaf ndo nianze kufanyaUnahitimu lini ?
Unataka ukihitimu ndio uanze kufanya ?
Sawa kiongozi ila si unajua vijijini ni uchache wa watu ndo tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Fanya tu mkuu usiwaze ..ukitaka kujua kitu fanya ..hii ndo njia bora zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo dar es salaam ila hapa niko kimasomo ndo maana nimesema hapa mjini