Mwenye mbinu za kuacha ngono

Kaogeshwe maji ya kisima Na bibi alievaa kaniki utanishukuru
 
penda wake za watu utaacha mwenyewe ukianza kukojoa dagaa, au wale wazee wa lete mafuta
Hapo kwenye Futa ni balaa tupu lazima ataacha

Kuna clip niliona jama kapigwa lita 5 nikajiuliza wanataka kumkaanga.!?

Jamaa kila nyimbo aliimba siku iyo, usiombe yakukute
 
N nn kinapelekea ww kutaka kuacha kushriki tendo la kujamiiana??
 
Utakuja kuacha mwenyewe, hayanaga muongozo...
 
Mkuu hivi kuna raha kama kupiga mashine kweli,jipangilie tu ratiba zako kuwa na mwanamke mmoja ambaye moyo wako umempenda pia mechi za ugenini ziwe mara moja sana,kwa upande wangu lazima nipige mashine ndio nilale na ntalala unono kweli kweli sasa wewe mpaka unataka uhasiwe kweli[emoji23][emoji23][emoji23] hapana aisee papuchi ni tamu sana umefika mbali sana mkuu.
 
Nunua chupi yenye kufuli. Acha funguo kwa mwinjilisti. Utakuja kunishukuru
 
As long as una dudu inayosimama barabara na una hisia, hiyo mawazo ya kuacha kudinyana utakuwa unajidanganya...

Labda uondoke ukaishi zako porini huko, uwe mtu kama wale wa kale unakula panzi na matunda...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…