Jeremy Bentham
Senior Member
- Apr 22, 2019
- 118
- 131
Acha punyeto kijana
Mzee salama?[emoji848]
nipe namba ya Jokate mkuu
Alikiba na diamond watakuwanazo maana wameshapiga,hata jiwe anayo.Naombeni mnisaidie namba ya Mhe Jokate Mwegelo nina jambo nataka nimweleze nimeshindwa kukaa nalo moyoni
Alikiba na diamond watakuwanazo maana wameshapiga,hata jiwe anayo.
Njoo PM nikupe mkuu
Mwenye namba ya simu ya Mh.Paul Makonda, msaada pia. samahani kwa kuingilia thread
Kuna mtu hapo juu kakwambia umfate PMmkuu ya jokate kwanza nipewe
Mkuu Mbona Yumo Humu Humu Jf Atapita Kwenye Huu Uzi
Msubiri Pm Tu
HahahaMwenye namba ya simu ya Mh.Paul Makonda, msaada pia. samahani kwa kuingilia thread
Ndiyo, nisaidieHahaha
Mkuu unataka ya Paulo