we kitoto unajua nini kuhusu ndoa?Hakuna,/ hatototokea abadani
Kwahyo ukanichynia ili nisikusumbue sio...πππππππwe kitoto unajua nini kuhusu ndoa?
Ndio zinatofautiana mkuu wenye ndoa ndio wanaamua iwe salama kwa mambo Fulani Fulani ila sio yote ,silaha kubwa ni kukaa kimyaNimekuwa nikisikiliza washauri wa masuala ya ndoa Jinsi wanavyoelezea changamoto za na namna ya kukabiliana nazo yaani kama wao wapo sahihi kwenye ndoa zao, badala yake hao motivation speaker ndio vinara wa kuchepuka katika ndoa zao.
Ndio maana nasema kama una ndoa salama jitokeze.
unanionea mbona nilijibu zote πππKwahyo ukanichynia ili nisikusumbue sio...πππππππ
Ndoa yangu ni salama, occasionally hua tunazozana, but that normal part of human being.
All in all we are good and love each other insanely.
Hakuna kitu ka hicho ..unanionea mbona nilijibu zote πππ
vipi unataka ndoa salama?Hakuna kitu ka hicho ..
Naona uliniamulia kweli kweli an daaah
Hapana mi sitaki..vipi unataka ndoa salama?
Sawa shangazi ππππππKataa ndoa
Ndoa ni kichaka cha mwanamke kujitajirisha.
Ndoa ni kuuza uhuru wako
Ndoa ni kamari