haya watakutafuta. but si takuwa nao wengi? utawezaje kuchat na marafiki wote wa fb, twitter na jf? unazodola nyingi wewe. au za munyama?
Umegundua njia ya kupata income wakati wa kuchat nini..? au ni multi-task unaweza kufanya mengi kwa wakati mmoja au unafanya kazi ya security hivyo inabidi ukae macho na chatting inapitisha muda kuliko kukaa tu..nina simu mbili na laptop moja,so simu moja Facebook,nyingine twitter,na laptop ina deal na The Grid na jf
Bila kupoteza muda ku type, naomba niwe rafiki yako hasa mtoto wa kike,maana wa Kiume nimewazoea sana,siku zote wana habari za kwenda bar tu. So,natamani marafiki wa kuchat nao kwenye Facebook,twitter,the grid,and Jf. Hata via 4n no. Kama uko serious ni Pm afu tupeane contacts. Thanx