Mwenye Noah, Gaia au gariyoyote inayobeba abiria 7 na kuendelea kwa ajili ya kazi!!

Mwenye Noah, Gaia au gariyoyote inayobeba abiria 7 na kuendelea kwa ajili ya kazi!!

Joack

Member
Joined
Jul 2, 2012
Posts
31
Reaction score
7
Nahitaji gari ya kufanyia kazi inayobeba abiria kuanzia 7 na kuendelea preferrable Noah, Gaia, Ipsum, au yoyote yenye uwezo huo. Nitampa hesabu ya siku 20,000/= mpaka 25,000/= kwa siku kulingana na makubaliano. Mimi nipo Dar Es Salaam. Gari itafanya kazi maeneo yenye barabara ya rami (sio roughroad) Gari itaendeshwa kwa uangalifu na matunzo ya kutosha. Aliye tayari tuwasiliane nitatoa namba za mawasiliano kwa maelewano na mapatano zaidi. Email yangu jsleym@gmail.com
 
Nahitaji gari ya kufanyia kazi inayobeba abiria kuanzia 7 na kuendelea preferrable Noah, Gaia, Ipsum, au yoyote yenye uwezo huo. Nitampa hesabu ya siku 20,000/= mpaka 25,000/= kwa siku kulingana na makubaliano. Mimi nipo Dar Es Salaam. Gari itafanya kazi maeneo yenye barabara ya rami (sio roughroad) Gari itaendeshwa kwa uangalifu na matunzo ya kutosha. Aliye tayari tuwasiliane nitatoa namba za mawasiliano kwa maelewano na mapatano zaidi.

Hizo namba za mawasiliano utazitoa lini, Juzi?! au Jana?!
 
hesabu ya kupeleka kwa mwenye gari kwa siku kwa wenye magari hayo ni 40,000/= hapa mjini!ila sikukatishi tamaa,labda utapata
 
Ndugu yangu sidhan kama uko serious, sipendi kukukatisha tamaa ila kwa gari kama hizo bk 20 kwa siku ni matusi. Labda upate gari iliyochoka kbs
 
Si kasema kuanzia saa saba? yawezekana ni saa saba za usiku mpaka saa moja alfajiri.... STUKA!!

Hajasema kuanzia saa 7, anataka gar ya kubeba watu 7+. Sasa Kama Noah, ama cruiser yenye vita nyuma vya kitalii italipiwa 25,000 kwa siku, starlet si atataka atoe buku tatu?:eek2:
Ngastuka, machale kun'ndesa!
 
Hajasema kuanzia saa 7, anataka gar ya kubeba watu 7+. Sasa Kama Noah, ama cruiser yenye vita nyuma vya kitalii italipiwa 25,000 kwa siku, starlet si atataka atoe buku tatu?:eek2:
Ngastuka, machale kun'ndesa!
Kiru kiru!! Ote mae!!
 
Mie nina super custom 8 seater iko makini sana full AC lkn kwa ofa hiyo buku 20 kwa siku mhhh,,maana hiyo ni hesabu ya tax
 
Sijaweka namba za simu kwa sababu za watu wenye akili na uelewa tofauti kama unavyoona walivyotoa comment hapo juu. Sisi binadamu tuna uelewa tofauti. Naomba aliye tayari na serious anitumie private message kwa: Joack ili nitoe nammba za simu.
 
Kassim, Kwani ofa yako ya mwisho ni ngapi nitumie kwenye private message username: Joack
 
Siwezi kuweka namba zangu za simu hapa kuepuka usumbufu kutokana na watu kuwa na akili tofauti. Naomba ndugu kama uko serious naomba unitumie private message kwa username ya Joack. Nitakutumia namba ya simu kwa mapatano zaidi. Au tumia email ya jsleym@gmail.com
 
Brine, Siwezi kuweka namba zangu za simu hapa kuepuka usumbufu kutokana na watu kuwa na akili tofauti. Naomba ndugu kama uko serious naomba unitumie private message kwa username ya Joack. Nitakutumia namba ya simu kwa mapatano zaidi. Au tumia email ya jsleym@gmail.com
 
weka namba tufanye biashara kaka,

Siwezi kuweka namba zangu za simu hapa kuepuka usumbufu kutokana na watu kuwa na ak ili tofauti. Naomba ndugu kama uko serious naomba unitumie private message kwa username ya Joack.
Nimekutumia namba za simu kwenye private message yako angalia kwenye Inbox utazikuta kwa mapatano zaidi. Au tumia email ya jsleym@gmail.com
 
Back
Top Bottom