Mwenye picha mchezaji wa mamelod akilambishwa chenga kali

Mwenye picha mchezaji wa mamelod akilambishwa chenga kali

samakinchanga

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2014
Posts
2,024
Reaction score
1,233
Niliona jamaa alilambishwa chenga ya kufa mtu akateguka sijui.rusha picha tu
 
We fala nini nani unampa kazi hiyo we ingia YouTube si ndo mwenye shida kaitafute uscreenshoot uje kutulisha sisi content
Mbona una hasira km unawekewa kijiti na Aly Ahly 🤣
 
FB_IMG_1711870028918.jpg
 
Hiyo picha imekuwa gumzo huko kwao South Africa,mashabiki wa Kaizer na Pirates wanaitumia kuwadhihaki Mamelody.
 
Ukishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.

KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....

MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.

MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
 
Back
Top Bottom