Kwa mke wa ndoa ya kanisani alibahatika watatu lakini mmoja ni marehemu.
Kwenye new era marriage alipata twin boys
Mbona kama tom boyView attachment 1089439
Watoto wakubwa wa Reginald Mengi: Regina na Abdiel Mengi wakisalimiana na Mizengo Pinda (wakati akiwa Waziri Mkuu wa JMT)...
Very Natural and Simple!View attachment 1065430
Akiwa na baba yake kwenye msiba wa mama yake.
Yaani siku hizi lazima uvae nywele za wahindi ndio uwe mrembo. She is Natural and Simple! Period!Mbona kama tom boy
RIPPicha ya binti yangu unaitaka ya nini?
"Typed with my thumbs."
Huna songi za kumuimbisha dem km huyu wewe domo zege hujui wazuri. weka limke lako la kijijini tuone.zisitaki mbichi hizi. Lazima ukubali mwenzio alizaaa hasa. Kwa maunoWote wa kawaida tu hao hawana uzuri wowote wa kunitetemesha moyo wangu
Picha ya binti yangu unaitaka ya nini?
"Typed with my thumbs."
We ni Reginald?
God first
CC.JIPU
Dah! Viswahili buana!Huyo demu ni mkali sana, akisimama hapo utashika adabu
Kweli kifo ni mwisho wa yote,yaani mara hii tumeshamsahau mzee wa watu,ni kama hakuwahi kuwepo!View attachment 1065430
Akiwa na baba yake kwenye msiba wa mama yake.