Mwenye picha ya huyu binti anasaidie

Wote wa kawaida tu hao hawana uzuri wowote wa kunitetemesha moyo wangu
Huna songi za kumuimbisha dem km huyu wewe domo zege hujui wazuri. weka limke lako la kijijini tuone.zisitaki mbichi hizi. Lazima ukubali mwenzio alizaaa hasa. Kwa mauno
 
Huyo demu ni mkali sana, akisimama hapo utashika adabu
Dah! Viswahili buana!

Hii sentensi kama leoleo umetokea 'kwacharo' utaelewa kuwa mhusika anayeongelewa hapo ni katili na jeuri na kwamba akinyenyuka kuchukua hatua lazima utii na kushika adabu.

Kumbe sasa, ni kitu kingine tu kinachoongelewa hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…