Voice of Wisdom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 537
- 240
nafikiria kukusaidia, maana nikifanikiwa ktk hili lazimd niwe chief judge, wasiwasi wangu kwako madam b ni kwamba umekuwa ukitajwa na watu wengi sana na hukuwah kukanusha, itabidi ufike cchc ili tuweze kukusaidia, ila hakikisha cku unakuja rutta yupo buligu ili asipate access ya jf
business is business, upo tayari kugawana porsche iliyomzingua huyo aliyetangaza nia?
Kwani alimtaliki mkewe??????
.......afu yeye ndo anatangaza mpango mzima!! I'm smlng fishy Nicas Mtei.
Of Courze Mpenzi.
Me niko tayari.
Next?
Unamkumbuka aliyekuwa mke wa Ruttashobolwa!?? alivyo kisirani yule lazima aweke pingamizi ingawa nae katangaza kutafuta mchumba baada ya kutangatanga na kuzionja zote
This means unayajuwa mapunguvu yake, unazijua strength zake, kwa hiyo hakutakuwa na supprise kwako kuhusu yeye... If so, kila la kheli, ila tu usije ukarudi hapa na mara vile mara hivi kwa hiyo simuwezi.... Mi sitakuelewa.... Pingu ya maisha hiyo haina dhamana wala msamaha wa raisi.... kifo tu ndo kitakutenganisha naye.... IF YOU ARE READY.... lya lya lya lya lululululu....nitamuweza tu Ngalikihija,moyo ndo ushapenda mwenzio
Unamkumbuka aliyekuwa mke wa Ruttashobolwa!?? alivyo kisirani yule lazima aweke pingamizi ingawa nae katangaza kutafuta mchumba baada ya kutangatanga na kuzionja zote
tuandae jalada, ila hakikisha una kila supporting doc, maana huyu mheshimiwa ana mawe, ila naijuaga weaknes yake. We letaga ule mukataba wa ndoa, kisha tunasubiria siku wanadhani ndiyo furaha yao kwao na kwako huzuni inakuwa versa vice. Ila pia ujiandae kuhama nchini moja kwa moja
Kumbuka Ruttashobolwa hakunipa talaka wewe passion lady
Ha ha ha ha ha haaaa...
Na wafitini tunaruhusiwa kuchangia mada hii..??