Mwenye pingamizi kuhusu uchumba huu ajitokeze

Jamani watu na bahati zetu,mie nimeonekana na mwanachitchat mwenzangu,siku si nyingi tunataka kutangaza nia,ili ndoa isiwe na mapicha picha naomba mwenye pingamizi ajitokeze tafadhali,nimempata wa moyoni RUTTASHOBOLWA!

copy: Madame B !!!!!
 
Last edited by a moderator:
Well noted with thanks.

halafu Madame B ni kwamba ile porsche ndo inamzingua huyo bidada, kuanzia alipoiona pale kebby na kubahatika kuingia kwa kgezo cha kutaka msaada wa kisheria, na rutta asivyokuwa na haya akamruhusu kuingia na kumpeleka home kwake. Yaani kama ni evidence zipo za kuua watu,yaani porsche ikitoka tu lazima utasikia bidada akitangaza nia tena!
 
Ngoja na mimi nitangaze nia..nani yupo single jamani ktk hii nchi ya
chitchat.. Donn ckuwezi usije kabisaa.
 
Last edited by a moderator:
Voice of wisdom mi nitavumilia yote jamani,ila ngoja nirudi nitakua nishajua ukweli duuuh!kumbe husbnd to be ndivyo alivyo,pia hakuniambia kama alishaoa!ngoja nikalie kwanza hasira zipungue
 
Ngalikihija madame b jamani uwiii anataka apinge,mwambie ndio kaachwa akubali pls asijeharibu shughuli yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…