cheguevara
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,348
- 652
Mkuu fanya utafiti kabla ya kuandika vitu ukapotosha umma,,alokwambia Mzumbe hawasomi core course 16 zote zilizoorodheshwa law school ni nani? core course zote 16 Mzumbe wanasoma na mpaka sasa wapo waloingia cohort ya 23 na hawapaswi kusoma hizo core course upya.
Hujaelewa nlichomaanisha,,soma vizuri post nloikosoa,alikua anamaanisha Mzumbe kuna baadhi ya hizo core course 16 zilizoorodheshwa LST kua hawasomi na ndo nlichopinga,ambao wanaingia LST wanasoma course zote wote kwa pamoja kama ulivosoma so nlichoandika hakuna uongo ila hukuelewa nlikua namaanisha nini.Wewe pia muongo lst unaanza moja hakuna unachoacha hata kama ulisoma huko kwenu mzumbe plus social works,cheza mbali na lst,darasa moja student 500 mwl mmoja !!!!
Asante kwa ufafanuziThe Advocates Act CAP 341 imesema katika Section 8 (1) a, hapo kuwa katika vigezo vya kusoma LST ni kuwa na degree ya Sheria katika chuo kinachotambulika na serikali.
Acha uongo wewe, kipya kipi unachoanza kujifunza law school (hadi useme unaanza moja?).Wewe pia muongo lst unaanza moja hakuna unachoacha hata kama ulisoma huko kwenu mzumbe plus social works,cheza mbali na lst,darasa moja student 500 mwl mmoja !!!!
Utata wa nn? Kama huna LLB nenda kasome Social Work tu hakuna namnaMkuu kwenye sheria yao pale section 22 wameandika bachelor of laws or its equivalent. Sasa tuna utata hapo
Hiv umelala au unaamua kupotosha kwa makusud? Mzumbe hawasomi course gan hzo?Wanasoma.. juzi kuna mtu kauliza palw Regstrar kasema wanwaadmit kwan pale unahtaj uwe na course 16 ila kuchkua course za PDGL na Law enforcement mru anakuwa na jumla ya course 11 hizo tano anasoma wakat wa kuendelea na masomi. Vyio vingne kama mzumbe,Tumaini hawasom course zote za law school wakifika pale wanapaswa kusoma upya.
Maelezo yako wazi kwenye website ya law school. Jiongeze ongeze mambo mengine. Anyway NO.Salaam waungwana . Nina ndugu yangu anataka kwenda kuomba law school pale mawasiliano ila mwanzo alisoma Bachelor ya Law Enforcement na amesoma PostGraduate Diploma in Law.. je wanaweza mpokea akasomaa??
Swali ni je wenye Postgraduate Diploma in Law Wanapokelewa pale law school?
BALE is not equivalent to law school.Mkuu kwenye sheria yao pale section 22 wameandika bachelor of laws or its equivalent. Sasa tuna utata hapo
Unapotosha. Soma vigezo vipo plain kwenye tovuti ya law schoolWanasoma kama kawaida KAMA MTU ANA POSTGRADUATE YA SHERIA NA MASTERS AU LA ENFIRCEMENT ACHA KUPOTOSHA
BALE not equivalent to LLBBALE is not equivalent to law school.
No! LLB is mandatory! Tena hiyo LLB iwe na kozi fulani za lazima! Waweza pakua application Form yao online uone!vipi kuhusu aliyesoma M.A Ya revenue laws alaf ana background Ya Bcom undergraduate