Mwenye post graduate ya sheria anaruhusiwa kwenda law school?


Wewe pia muongo lst unaanza moja hakuna unachoacha hata kama ulisoma huko kwenu mzumbe plus social works,cheza mbali na lst,darasa moja student 500 mwl mmoja !!!!
 
Wewe pia muongo lst unaanza moja hakuna unachoacha hata kama ulisoma huko kwenu mzumbe plus social works,cheza mbali na lst,darasa moja student 500 mwl mmoja !!!!
Hujaelewa nlichomaanisha,,soma vizuri post nloikosoa,alikua anamaanisha Mzumbe kuna baadhi ya hizo core course 16 zilizoorodheshwa LST kua hawasomi na ndo nlichopinga,ambao wanaingia LST wanasoma course zote wote kwa pamoja kama ulivosoma so nlichoandika hakuna uongo ila hukuelewa nlikua namaanisha nini.
 
Bale to Baleeee
Wahusika wamenipata vzr I hope....hahahaaaa
 
wakuu samahani naomba kuzijua hizo course 16 ambazo law school wanataka mtu asome
 
The Advocates Act CAP 341 imesema katika Section 8 (1) a, hapo kuwa katika vigezo vya kusoma LST ni kuwa na degree ya Sheria katika chuo kinachotambulika na serikali.
 
Wewe pia muongo lst unaanza moja hakuna unachoacha hata kama ulisoma huko kwenu mzumbe plus social works,cheza mbali na lst,darasa moja student 500 mwl mmoja !!!!
Acha uongo wewe, kipya kipi unachoanza kujifunza law school (hadi useme unaanza moja?).
 
Hiv umelala au unaamua kupotosha kwa makusud? Mzumbe hawasomi course gan hzo?
 
Maelezo yako wazi kwenye website ya law school. Jiongeze ongeze mambo mengine. Anyway NO.
 
Wanasoma kama kawaida KAMA MTU ANA POSTGRADUATE YA SHERIA NA MASTERS AU LA ENFIRCEMENT ACHA KUPOTOSHA
Unapotosha. Soma vigezo vipo plain kwenye tovuti ya law school
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…