Klad tanzania limited ni kampuni ya umeme wa taka iliyokua mbioni kuanza operation mwishoni mwa mwaka jana,mimi ni moja kati ya waliotuma application na hatimaye kuitwa kufanya intrvw kwny ofc zao zilizokua maeneo ya boko,nilihaidiwa kuitwa mwanzoni mwa mwaka huu kwa ajili ya anthr intrvw lakn hadi sasa naona kimya,kwa anaefaham tafadhari anijuze nn kiliendelea..