Cizokalugwagu
Member
- Jul 25, 2013
- 23
- 1
Wanasema ngojangoja yaumiza matumbo. Jamani ni nani aliye na tetesi au habari za uhakika ni lini TCU watatoa majina ya wanafunzi wataojiunga na vyuo vikuu?
Hakuna kazi ngumu kama kusubiri. Japo tetesi tu za matumaini!
Hakuna kazi ngumu kama kusubiri. Japo tetesi tu za matumaini!