CHAPTER5
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 556
- 506
Habari ya mchana ndugu zangu!
Ndugu wana Jf nimeona nije kwenu ili mwenye uhitaji tufanye kazi pamoja.
Ndugu wana jf nahitaji mtu yeyote mwenye kumiliki tractor ambalo ameona limeshindwa kumwingizia kipato kizuri ama anayetaka tractor lake liweze kumpatia faida kwa muda mfupi tuwasiliane ili tufanye kazi pamoja katika wilaya mpya ya Malinyi ipo mkoa wa Morogoro.
Mimi ni msimamizi mzuri wa mali yako , hutajuta kunipa nafasi hiyo kwani Malinyi bado kunafulsa nzuri ya kiuchumi.
Kwa aliyetari ani PM ili tufanye mazungumzo zaidi .
Nawasilisha.
Ndugu wana Jf nimeona nije kwenu ili mwenye uhitaji tufanye kazi pamoja.
Ndugu wana jf nahitaji mtu yeyote mwenye kumiliki tractor ambalo ameona limeshindwa kumwingizia kipato kizuri ama anayetaka tractor lake liweze kumpatia faida kwa muda mfupi tuwasiliane ili tufanye kazi pamoja katika wilaya mpya ya Malinyi ipo mkoa wa Morogoro.
Mimi ni msimamizi mzuri wa mali yako , hutajuta kunipa nafasi hiyo kwani Malinyi bado kunafulsa nzuri ya kiuchumi.
Kwa aliyetari ani PM ili tufanye mazungumzo zaidi .
Nawasilisha.