Tetesi: Mwenye ubuyu kamili wa Menina

mbona povu hvyo umepita nn
Hapana namfahamu huyo Dada vzr kuliko maelezo ndio maana nashangaa wanaomzushia, Kama Kuna anayeamini anao aweke million 10 mezani na Mimi million 10 alafu tukampime ndo utajua hujui na ndo utajua hpa JF pamejaa wachawi, wanafiki,wenye husda na roho mbaya tena mbaya sana haswa vidada
 
Halafu utakuta alikua anaitafuta pesa ya kumtibia mumewe huko location

Pole kwa Menina na familia

Alale salama mume

Mmhhh hata siku wametangaza msiba alikua kapost video wanakatika katika insta story baadae akzifuta
 
Aliwahi kushiriki Bss ni mwanamuziki na muigizaji (yupo kwenye jua kali Dstv) pia ni Mc bila kusahau ana video zake za utamu[emoji847][emoji847]
Ni maarufu kwa video za utamu(XXX), wengine tumemfahamia hapo na hayo mengine hatuyajui wala hatujawahi kuyasikia.
 
Nitakapokuwa Rais hamtasikia ujinga ujinga mwingi huu mara udaku, mara wauza sura, usanii.
Ni jela tu kwenye mashamba ya katani. TUMECHELEWESHWA SANA
Ukifanya hivi basi hii nchi haitokuwa ni ya demokrasia ni ya udikteta huwezi nyima,watu wafanye yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…