Mwenye uelewa gari langu linapandisha temperature katika engine

Thermostat laweza kuwa tatizo. Cheki na fundi aifungue aangalie kwa maji moto kama inafungua ama siyo.
 
Kuna kitu kinaitwa cylinder head katika engine ndani yake kuna gasket hiyo inaweza ikawa imeungua au hiyo cylinder head njia zake zimeliwa na maji ya chumvi
 
Je inasumbuwa kuwaka tofauti na awali kabla ya tatizo au inawaka kawaida ?
 
Cylinder head inaweza ikawa ilipinda,icheki kama imepinda wai reverse
 
Nenda kalipooze mtoni.
[emoji23] [emoji23] [emoji3] mnafanya walionuna wacheke.
Angalia vitu vitano vifuatvyo:-
1. Fan belt
2. Coolant unayotumia
3. Radiator kama haivuji au zile airspace za radiator kama zimeziba ipeleke gari carwash ikaoshwe na high pressure pump
4. Propeller
5. Control box ya umeme wa gari


Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
 
Control box inasababidhaje overheating?
Angalia vitu vitano vifuatvyo:-
1. Fan belt
2. Coolant unayotumia
3. Radiator kama haivuji au zile airspace za radiator kama zimeziba ipeleke gari carwash ikaoshwe na high pressure pump
4. Propeller
5. Control box ya umeme wa gari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo tatizo lisipoisha badilisha fundi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…